RAIS MPYA IVORY COAST AAPISHWA



Miezi sita baada ya uchaguzi uliokuwa na mzozo, rais mpya wa Ivory Coast, Alassane Ouattara, ameapishwa.
Sherehe zilizofanywa mji mkuu, Yamoussoukro, zilihudhuriwa na viongozi wengi wa Afrika pamoja na Rais Sarkozy wa Ufaransa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon.
Bwana Uottara aliushukuru ulimwengu kwa kumuunga mkono , na alisema kwamba kauli ya wananchi wa Ivory Coast imeshinda.
Piya alitoa wito kwa watu kuonesha udugu na mapatano, na aliahidi kuwa ataongoza kwa niaba ya taifa zima.
Mwandishi wa BBC mjini Abidjan anasema, kazi kubwa inayomkabili Bwana Outtara ni usalama na uchumi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI