SHY-ROSE AIZAWADIA TIMU YA JIMBO LA KINONDONI SH. 1,000,000

Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa, Shy-Rose Bhanji akimkabidhi Nahodha wa timu ya Jimbo la Kinondoni, Mohamed Zorro zawadi ya sh. 1,000,000 za wachezaji wa timu hiyo iliyotwaa ubingwa wa soka katika mashindano yaliyoshirikisha timu za majimbo ya Nane ya uchaguzi ya Mkoa wa Dar es Salaam. Hafla hiyo fupi ilifanyika Makao Makuu ya CCM Wilaya ya kinondoni leo. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Shy-Rose akiwa katika picha ya pamoja na viongozi pamoja na wachezaji wa timu hiyo



Shy-Rose akizungumza nao baada ya kuwapatia zawadi hiyo













Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.