
Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa, Shy-Rose Bhanji akimkabidhi Nahodha wa timu ya Jimbo la Kinondoni, Mohamed Zorro zawadi ya sh. 1,000,000 za wachezaji wa timu hiyo iliyotwaa ubingwa wa soka katika mashindano yaliyoshirikisha timu za majimbo ya Nane ya uchaguzi ya Mkoa wa Dar es Salaam. Hafla hiyo fupi ilifanyika Makao Makuu ya CCM Wilaya ya kinondoni leo. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Shy-Rose akiwa katika picha ya pamoja na viongozi pamoja na wachezaji wa timu hiyo

Shy-Rose akizungumza nao baada ya kuwapatia zawadi hiyo
Comments