AJALI YA DALADALA YAUA MMOJA DAR

Daktari wa Hospitali ya Wilaya ya Temeke, Dk.Richard Msunga (kushoto)

na Dk. Kuwendwa, wakitoa huduma ya kwanza kwa abiria Mohammed

Ngwale aliyejeruhiwa katika ajali ya daladala namba T 241 AZB,

iliyogongana na Lori namba T 504 AWH Dar es Salaam, katika makutano

ya barabara za Mandela na Kilwa. Hata hivyo majeruhi huyo alifariki

baadaye.(PICHA
Mmoja wa vijana aliyejeruhiwa
Msichana aliyeruhiwa kwenye ajali hiyio akisubiri tiba katika Hospitali ya Temeke
Baadhi ya majeruhi wakipelekwa Hospitali ya Temeke kwa matibabu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI