Daktari wa Hospitali ya Wilaya ya Temeke, Dk.Richard Msunga (kushoto)
na Dk. Kuwendwa, wakitoa huduma ya kwanza kwa abiria Mohammed
Ngwale aliyejeruhiwa katika ajali ya daladala namba T 241 AZB,
iliyogongana na Lori namba T 504 AWH Dar es Salaam, katika makutano
ya barabara za Mandela na Kilwa. Hata hivyo majeruhi huyo alifariki
baadaye.(PICHA
Mmoja wa vijana aliyejeruhiwa
Msichana aliyeruhiwa kwenye ajali hiyio akisubiri tiba katika Hospitali ya Temeke
Baadhi ya majeruhi wakipelekwa Hospitali ya Temeke kwa matibabu
na Dk. Kuwendwa, wakitoa huduma ya kwanza kwa abiria Mohammed
Ngwale aliyejeruhiwa katika ajali ya daladala namba T 241 AZB,
iliyogongana na Lori namba T 504 AWH Dar es Salaam, katika makutano
ya barabara za Mandela na Kilwa. Hata hivyo majeruhi huyo alifariki
baadaye.(PICHA
Mmoja wa vijana aliyejeruhiwa
Msichana aliyeruhiwa kwenye ajali hiyio akisubiri tiba katika Hospitali ya Temeke
Baadhi ya majeruhi wakipelekwa Hospitali ya Temeke kwa matibabu
Comments