AJALI YA DALADALA YAUA MMOJA DAR

Daktari wa Hospitali ya Wilaya ya Temeke, Dk.Richard Msunga (kushoto)

na Dk. Kuwendwa, wakitoa huduma ya kwanza kwa abiria Mohammed

Ngwale aliyejeruhiwa katika ajali ya daladala namba T 241 AZB,

iliyogongana na Lori namba T 504 AWH Dar es Salaam, katika makutano

ya barabara za Mandela na Kilwa. Hata hivyo majeruhi huyo alifariki

baadaye.(PICHA
Mmoja wa vijana aliyejeruhiwa
Msichana aliyeruhiwa kwenye ajali hiyio akisubiri tiba katika Hospitali ya Temeke
Baadhi ya majeruhi wakipelekwa Hospitali ya Temeke kwa matibabu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA