Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda akiwaongoza wabunge wa Bunge la Tanzania kuimba wimbo wa Taifa jana mjini Dodoma kuashiria kuanza kwa kikao cha kwanza cha mkutano wa nne wa Bunge la Tanzania.(PICHA NA TIGANYA VINCENT-MAELEZO)
Baadhi ya wabunge wa Tanzania wakifuatilia kwa makini kipindi cha maswali na majibu jana mjini Dodoma wakati wa kuanza kwa kikao cha kwanza cha Mkutano wa Nne wa Bunge la Tanzania mjini Dodoma.
Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda akijadiliana jambo na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli mjini Dodoma kabla ya kuanza kikao cha kwanza cha Mkutano wa Nne wa Bunge la Tanzania.(PICHA NA TIGANYA VINCENT-MAELEZO)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiteta jambo nje ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tanga (Walemamvu) Al.Shaymaa Kwegyir mara baada ya kutoka kwenye kipindi cha maswali na majibu kwenye Mkutano wa Nne wa Bunge la Bajeti ya mwaka wa fedha 2011/2012.(PICHA NA NICHOLOUS MMBAGA-PMO)
Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda akijadiliana jambo na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli mjini Dodoma kabla ya kuanza kikao cha kwanza cha Mkutano wa Nne wa Bunge la Tanzania.(PICHA NA TIGANYA VINCENT-MAELEZO)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiteta jambo nje ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tanga (Walemamvu) Al.Shaymaa Kwegyir mara baada ya kutoka kwenye kipindi cha maswali na majibu kwenye Mkutano wa Nne wa Bunge la Bajeti ya mwaka wa fedha 2011/2012.(PICHA NA NICHOLOUS MMBAGA-PMO)
Comments