Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Hilary Clinton akilakiwa na
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Bernard Membe jioni hii kwenye
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam,
alipowasili kwa ziara ya siku tatu nchini. Mama Clinton ambaye
ametokea Zambia. Kwa mujibu wa ratiba, kesho atakuwa na
mazungumzo na Waziri Mkuu Mizengo Pinda na mawaziri, halafu
baadaye atakwenda Kibaha kuzindua mpamgo wa chakula, pia mchana huo atakwenda kutembelea Mtambo wa Umeme wa Simbion Ubungo na kutembelea tena Kituo cha Afya cha Bunguruni. Jioni atakutana na Rais Jakaya Kikwete pamoja na kuzungumza na vyombo vya habari. (PICHA NA BLOGU YA JAMII)
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Bernard Membe jioni hii kwenye
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam,
alipowasili kwa ziara ya siku tatu nchini. Mama Clinton ambaye
ametokea Zambia. Kwa mujibu wa ratiba, kesho atakuwa na
mazungumzo na Waziri Mkuu Mizengo Pinda na mawaziri, halafu
baadaye atakwenda Kibaha kuzindua mpamgo wa chakula, pia mchana huo atakwenda kutembelea Mtambo wa Umeme wa Simbion Ubungo na kutembelea tena Kituo cha Afya cha Bunguruni. Jioni atakutana na Rais Jakaya Kikwete pamoja na kuzungumza na vyombo vya habari. (PICHA NA BLOGU YA JAMII)
Comments