Askofu Mkuu wa Kanisa Dr Valentino Mokiwa
--SAKATA la mgogoro wa Kanisa la Anglikana mkoani hapa limechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kutoa hati ya kukamatwa kwa Askofu Mkuu wa Kanisa hilo nchini. Mbali ya hilo pia Mahakama hiyo awali ilisimamisha shughuli zote za usimikaji wa Askofu na juzi pia kutoa hati ya kukamatwa kwa Askofu aliyesimikwa juzi,Stanley Hotay. Kutokana na amri hiyo, iwapo Askofu Hotay atakamatwa na kutiwa hatiani kwa kosa la kukaidi amri ya Mahakama, huenda akawa amepoteza sifa za kuwania tena kiti hicho cha uaskofu kwa mujibu wa taratibu za kanisa hilo.Kwa Habari Zaidi Bofya na Endelea......>>>
Email This BlogThis!
--SAKATA la mgogoro wa Kanisa la Anglikana mkoani hapa limechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kutoa hati ya kukamatwa kwa Askofu Mkuu wa Kanisa hilo nchini. Mbali ya hilo pia Mahakama hiyo awali ilisimamisha shughuli zote za usimikaji wa Askofu na juzi pia kutoa hati ya kukamatwa kwa Askofu aliyesimikwa juzi,Stanley Hotay. Kutokana na amri hiyo, iwapo Askofu Hotay atakamatwa na kutiwa hatiani kwa kosa la kukaidi amri ya Mahakama, huenda akawa amepoteza sifa za kuwania tena kiti hicho cha uaskofu kwa mujibu wa taratibu za kanisa hilo.Kwa Habari Zaidi Bofya na Endelea......>>>
Email This BlogThis!
Comments