MOTEMA PEMBE YAWASILI KUIVAA SIMBA

Wachezaji wa timu ya Motema Pembe itakayomenyana na Simba Jumapili wiki hii kwenye Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam, wakiwa akwenye Uwaja wa Ndege wa Kimataifa ya Julius Nyerere (JNIA) baada ya kuawasili leo jioni. (Picha na Nkoromo Daily Blog)


Mmoja wa wachezaji wa Motema Pembe akificha sura mbele ya kamera ya Nkoromo Daily Blog, timu hiyo ilipowasili leo jioni kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA). Haikuweza kufahamika kwa nini aliamua kufanya hivyo pengine kikwao ina maana fulani.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.