TFF imetoa kalenda yake ya matukio kwa mwaka 2011/2012 ambapo kipindi cha kwanza cha matayarisho ya msimu kinaanza Juni 1 hadi Agosti 13 mwaka huu. Kipindi cha kwanza cha uhamisho kinaanza Juni 1 hadi Julai 15 ambapo usajili wa kwanza utakuwa Juni 1 hadi Julai 20. Kutangaza wachezaji wa kuachwa/kusitisha mikataba ni kuanzia Juni 1 hadi 21 mwaka huu wakati kupitia majina na kutangaza pingamizi ni kati ya Julai 21-31 mwaka huu. Kipindi cha pili cha uhamisho kitaanza Novemba 1 hadi 20 mwaka huu wakati usajili utaanza Novemba 1 hadi 30 mwaka huu. Ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom inatarajiwa kutoka Julai 20 mwaka huu. Ngao ya Hisani kwa ajili ya ufunguzi wa msimu kwa mikoa yote itachezwa Agosti 13 mwaka huu wakati mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom utaanza Agosti 20 mwaka huu. TFF tunawaomba wadau wote kuhakikisha wanapata kalenda hii ili waweze kupanga shughuli na mipango yao kwa kuizingatia.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments