Siku inayofuata itacheza na Lesotho kwenye Uwanja wa Rufaro kabla ya kumaliza mechi za makundi Julai 5 mwaka huu kwa mechi dhidi ya wenyeji kwenye Uwanja wa Gwanzura. Hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo itafanyika Julai 7 mwaka huu. Kila kundi linatoa timu mbili kuingia katika hatua hiyo na nusu fainali zote pamoja na fainali zitachezwa Uwanja wa Rufaro. Boniface WamburaOfisa Habari
Siku inayofuata itacheza na Lesotho kwenye Uwanja wa Rufaro kabla ya kumaliza mechi za makundi Julai 5 mwaka huu kwa mechi dhidi ya wenyeji kwenye Uwanja wa Gwanzura. Hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo itafanyika Julai 7 mwaka huu. Kila kundi linatoa timu mbili kuingia katika hatua hiyo na nusu fainali zote pamoja na fainali zitachezwa Uwanja wa Rufaro. Boniface WamburaOfisa Habari
Comments