Msanii God Zila akipanda jukwaani huku akishangiliwa na wapenzi wa
muziki wa kizazi kipya wakati wa wakati wa shoo ya washindi wa Tuzo ya Muziki ya
Kilimanjaro 2011, kuwashukuru wakazi wa Mbeya kwa kuwachagua. Shoo hiyo ambayo imedhaminiwa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ilifanyikamwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.
muziki wa kizazi kipya wakati wa wakati wa shoo ya washindi wa Tuzo ya Muziki ya
Kilimanjaro 2011, kuwashukuru wakazi wa Mbeya kwa kuwachagua. Shoo hiyo ambayo imedhaminiwa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ilifanyikamwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.
Wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wakiwa wamepagawa wakati Msanii
God Zila akimwaga misitariwakati wa shoo ya washindi wa Tuzo ya Muziki ya Kilimanjaro
2011, kuwashukuru wakazi wa Mbeya kwa kuwachagua. Shoo hiyo ambayo imedhaminiwa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ilifanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.
God Zila akimwaga misitariwakati wa shoo ya washindi wa Tuzo ya Muziki ya Kilimanjaro
2011, kuwashukuru wakazi wa Mbeya kwa kuwachagua. Shoo hiyo ambayo imedhaminiwa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ilifanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.
Comments