Wachezaji wa timu ya Azam FC, wakiwa na Kombe la Ubigwa wa michuano ya Mapinduzi, walipowasili kwenye Bandari ya Dar es Salaam, wakitokea Zanzibar. (PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA) |
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bakhresa (aliyeshika kombe kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Azam baada ya kuwasili katika bandari ya Dar es Salaam leo jioni.
Wachezaji wa Azam FC, wakiwa na kombe la ubingwa wa michuano ya Mapinduzi, wakiwasili na Boti la Kilimanjaro kwenye bandari ya Dar es Salaam |
Mkurugenzi wa Kampuni ya Bakhresa, ambaye pia ni Mwenyekiti wa timu ya Azam FC, Abubakar Said Bakhresa akiwa na kombe hilo |
Baadhi ya viongozi wa Azam wakishangilia baada ya kulipokea kombe
Wachezaji wa Azam wakipanda kwenye basi lao tayari kwenda Makao Makuu yao eneo la Mzizima, Dar es Salam kwa ajili ya sherehe |
Baadhi ya mabasi ya timu ya Azam, yakiwa bandarini, Dar es Salaam,, yakisubiri timu iwasili kutoka Zanzibar |
Comments