BONDIA CHEKA AMTWANGA NYILAWILA

Askali wa usalama wakiendeleza ulinzi wakati wa mpambano huoo jana

Bondia Francis Cheka (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupa

masumbwi na Kalama Nyilawila wakati wa mpambano wao uliofanyika

uwanja wa Jamhuri Morogoro mwishoni mwa wiki cheka alishinda kwa

pointi.(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Fransic Cheka akinyosha mikono juu baada ya kuibuka mshindi na refarii Nemes Kavishe huku Bondia Kalama Nyilawili Amini matokeo hayo(pichana www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Bondia Ibrahimu Class (kushoto) akipambana na Venasi Mponji wakati

wa mpambano wUtangulizi walitoka droooo(picha na

www.superdboxingcoach.blogspot.com)



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA