DK SHEIN AZINDUA PICHA YAKE YA KUCHORA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk Ali Mohamed Shein,akifungua pazi kama ishara ya kuzindua Picha ya
kuchora kwa penseli,iliyochorwa na msanii Haji Simba,(wa pili kushoto)
wa kikundi cha Zan Artist cha Hurumzi Mjini Zanzibar,picha hiyo
inayofanana kabisa  na sura yake Rais,ambayo inaonesha  anachuma
karafuu,imechorwa kwa muda wa miezi miwili sawa na siku 60,hadi
kumalizika kwake,(wa tatu kulia) Mshauri wa Rais uwezeshaji wananchi
kiuchumi na ushirika Abrahmani Mwinyi Jumbe, na (wapili kulia)
Mkurugenzi wa Kamisheni ya Utalii Ali Khalil  Mirza.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
Ali Mohamed Shein,akiiangalia  Picha iliyochorwa na msanii,Haji
Simba,(kushoto) wa kikundi cha Zan Artist cha Hurumzi Mjini
Zanzibar,picha hiyo inayofanana na sura yake Rais,ambayo inaonesha
anachuma karafuu,imechorwa kwa muda wa miezi miwili sawa na siku
60,hadi kumalizika kwake,(kulia) Mratibu wa Shuhuli Simai Mohamed.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA