Ghasia zaendelea Nigeria


 
Watu kama wanane inaarifiwa kuwa wamekufa katika mashambulio mengine kaskazini mwa Nigeria.
Usalama nchini Nigeria

Inaarifiwa kuwa mwanajeshi mmoja aliuwawa kwenye kituo cha ukaguzi katika eneo jengine.
Makamo wa rais wa Nigeria, Namadi Sambo, yuko njiani kuelekea mji wa Kano, ambako watu kama 100 waliuwawa kwenye miripuko kadha ya mabomu Ijumaa usiku.
Chama cha wapiganaji wa Kiislamu cha Boko Haram kilidai kuhusika na mashambulio ya mjini Kano.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA