Ghasia zaendelea Nigeria
Watu kama wanane inaarifiwa kuwa wamekufa katika mashambulio mengine kaskazini mwa Nigeria.
Makamo wa rais wa Nigeria, Namadi Sambo, yuko njiani kuelekea mji wa Kano, ambako watu kama 100 waliuwawa kwenye miripuko kadha ya mabomu Ijumaa usiku.
Chama cha wapiganaji wa Kiislamu cha Boko Haram kilidai kuhusika na mashambulio ya mjini Kano.
Comments