Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, akipita kutoa heshima za mwisho, huku akifuatiwa na viongozi wengine.
Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa (mbele) akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Sumary
Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi Tanzania, David Mgwassa akitoa heshima za mwisho
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye foleni wakisubiri kutoa heshima za mwisho
JK akiwa na baadhi ya viongozi wakati mwili wa marehemu Sumary ukiingizwa kutolewa heshima za mwisho kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam
Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa akisalimiana na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kwenye masiba huo
Mmoja wa walemavu akiwa amebebwa akiondoka baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Sumary
JK akimfariji Mjane wa marehemu Sumari, Miriam
Askari wa Bunge, wakiingiza jeneza la mwili wa marehemu, Sumary likiwekwa kwenye gari baada ya kutolewa heshima za mwisho
Mjane wa marehemu Sumary7, Miriam |
Comments