Rais Jakaya kikwete akimwapisha, Peter Ilomo kuwa Katibu Mkuu Ikulu, Dar es Salaam
Suzana Mlawi akila kiapo kuwa Naibu Katibu Mkuu Ikulu, Dar es Salaam
Rais Jakaya Kikwete (kulia) akijadiliana jambo na Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kushoto) pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi aliyemaliza muda wake, Philemon Luhanjo wakati wa hafla ya kuapisha. Kulia kwa Makamu wa Rais, ni Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue.Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa wizara hiyo, William Ngeleja (katikati) na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Adam Malima baada ya kuapishwa
Naibu Katibu Mkuu Ikulu, Suzana, akipewa ua na rafiki yake, Lilian Mashaka baada ya kuapishwa
Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa wizara hiyo, William Ngeleja (katikati) na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Adam Malima baada ya kuapishwa Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Naibu Katibu Mkuu mpya Ikulu, Suzana Mlawi, Ikulu, Dar es Salaam
Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa wizara hiyo, William Ngeleja (katikati) na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Adam Malima baada ya kuapishwa Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Naibu Katibu Mkuu mpya Ikulu, Suzana Mlawi, Ikulu, Dar es Salaam
Comments