JK AWANDALIA MABALOZI TAFRIJA YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2012

Rais Jakaya Kikwete (katikati) akiwa na mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchi pamoja na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa wakati wa tafrija aliyowaandalia kuukaribisha mwaka mpya wa 2012, Ikulu, Dar es Salaam leo jioni.

                                         Mabalozi wakiingia eneo maalumu walililoandaliwa Ikulu
                                 Mabalozi wakiingia eneo maalumu walililoandaliwa Ikulu
 Katibu Msaidizi wa JK wa masuala ya Diplomasia Zahra Nuru (kulia) akiwalaki baadhi ya mabalozi. Chini ni baadhi ya mabalozi wakisikiliza wakati JK akihutubia
 Mkuu wa Malozi, ambaye pia ni Balozi wa DRC Congo, Juma Halfan Mpango akiwasilisha ujumbe wa mabalozi kwa Rais Jakaya Kikwete. Picha ya chini anaonekana Rais Kikwete akiwahutubia mabalozi hao.
JK akiagana na baadhi mabalozi baada ya kumalizika kwa tafrija hiyo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA