Mabalozi wakiingia eneo maalumu walililoandaliwa Ikulu
Mabalozi wakiingia eneo maalumu walililoandaliwa Ikulu
Katibu Msaidizi wa JK wa masuala ya Diplomasia Zahra Nuru (kulia) akiwalaki baadhi ya mabalozi. Chini ni baadhi ya mabalozi wakisikiliza wakati JK akihutubia
Mkuu wa Malozi, ambaye pia ni Balozi wa DRC Congo, Juma Halfan Mpango akiwasilisha ujumbe wa mabalozi kwa Rais Jakaya Kikwete. Picha ya chini anaonekana Rais Kikwete akiwahutubia mabalozi hao.
JK akiagana na baadhi mabalozi baada ya kumalizika kwa tafrija hiyo |
Comments