KAMANDA WA MATUKIO YAWATAKIWA WADAU HERI YA MWAKA MPYA 2012

Mtayarishaji Mkuu wa Blog ya kizalendo ya Kamanda wa Matukio, Richard Mwaikenda, anawatakia heri ya mwaka mpya 2012 na mafaniko tele wasomaji wote wa blog hii. Pia anawaahidi kuwaletea kila siku matukio moto moto.Ifanye Blog hii ni yako kwa kutosita kutuma matukio ya kila aina kwa kutumia Email Adress zifuatazo. rmwaikenda@yahoo.com,rmwaikenda@gmail.com

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA