Milioni 700 Kutumika Sherehe za Mapinduzi

Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar

Zaidi ya Shs. Million 700 zinatarajiwa kutumika katika kuadhimisha Sherehe za miaka 48 ya Mapinduzi Zanzibar ambayo kilele chake kitakuwa Januari 12 Mwezi huu huko katika Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar



Akitoa taarifa mbele ya waandishi wa habari leo huko ofisini kwake Vuga, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed amesema kuwa fedha hizo ni kwa makisio tu lakini taarifa kamili ya matumizi hayo itatolewa baada ya kukamilika kwa sherehe hiyo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.