Mwanamuziki mpya wa Bendi ya Mashujaa Charles Gabriel akilakiwa na Meneja wake, Bernard Msekwa alipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, akitokea Dubai alikokwenda kwenye mapumziko ya wiki moja, baada ya kuihama bendi ya Twanga Pepeta
Catz Baba akipewa shada la maua |
Chaltz Baba akilakiwa na Rais wa bendi hiyo |
Charlz Baba akilakiwa na baadhi ya wapenzi wa muziki |
Msafara wa mapikipiki uliokuwa ikuongoza msafara wa Charlz Baba kutoka Uwanja wa Ndege. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA) |
Comments