Muslim Brotherhood yashinda Misri

Matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa wabunge wa Misri yametangazwa.
Wafuasi wa Muslim Brotherhood

Tume ya uchaguzi ilisema kuwa chama hicho kimepata asili-mia-38 ya viti vya vyama, na karibu asili-mia-50 ya viti vyote.
Chama cha Kiislamu cha msimamo mkali kilikuwa cha pili, na hivo kuvipa vyama vya Kiislamu, karibu thuluthi-mbili za viti vya bunge.
Uchaguzi huo uliofanywa katika duru tatu, ndio wa kwanza, tangu Rais Mubarak kulazimika kung'atuka baada ya maandamano makubwa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI