Muslim Brotherhood yashinda Misri

Matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa wabunge wa Misri yametangazwa.
Wafuasi wa Muslim Brotherhood

Tume ya uchaguzi ilisema kuwa chama hicho kimepata asili-mia-38 ya viti vya vyama, na karibu asili-mia-50 ya viti vyote.
Chama cha Kiislamu cha msimamo mkali kilikuwa cha pili, na hivo kuvipa vyama vya Kiislamu, karibu thuluthi-mbili za viti vya bunge.
Uchaguzi huo uliofanywa katika duru tatu, ndio wa kwanza, tangu Rais Mubarak kulazimika kung'atuka baada ya maandamano makubwa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA