MWILI WA REGIA MTEMA WAPOKELEWA KIFALME IFAKARA

Jeneza lenye mwaili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (marehemu Regia Mtema, ukiwa umewasili nyumbani kwao Ifakara leo ambako yamefanyika mazishi.

Wananchi wan Ifakara wakiandamana Alfajiri leo kkupokewa mwili wa maehemu Regia Mtema, ulipowasili kutoka Dar

Viongozi mbalimbali wakiwa jukwaa kuu wakisubiri taratibu za mazishi mjini Ifakara leo

Wananchi wakisubiri taratibu za mazishi

Comments

Mkuu mi' ni mshabiki mkubwa wa blog yako ila naomba ujitahidi kufanya proof reading. Kuna typos nyingi sana kwenye hii makala

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA