Juma Jabu (kushoto) wa Simba akigombea mpira na John Bocco wa Azam FC, katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.
Moja ya hekaheka ilitokea langoni kwa Simba ilipocheza na Azam FC, katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Moja ya hekaheka ilitokea langoni kwa Simba ilipocheza na Azam FC, katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Comments