Mkuu wa Chuo cha Kodi nchini, Dk. Patrick Mugoyo (kushoto) na Rais Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA), Stephen Ngatunga wakitiliana saini mkataba ambapo taasisi hizo zimekubaliana kuanzisha chuo cha mafunzo ya forodha kwa watanzania. Hafla hiyo ilifanyika Dar es Salaam. (PICHA NA KAMANDA MWAIKENDA)
Mkuu wa Chuo cha Kodi nchini, Dk. Patrick Mugoyo (kushoto) na Rais Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA), Stephen Ngatunga wakibadilishana hati baada ya kutiliana saini mkataba ambapo taasisi hizo zimekubaliana kuanzisha chuo cha mafunzo ya forodha kwa watanzania. Hafla hiyo ilifanyika Dar es Salaam jana. (PICHA NA KAMANDA MWAIKENDA)
Mkuu wa Chuo cha Kodi nchini, Dk. Patrick Mugoyo (kushoto) na Rais Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA), Stephen Ngatunga wakibadilishana hati baada ya kutiliana saini mkataba ambapo taasisi hizo zimekubaliana kuanzisha chuo cha mafunzo ya forodha kwa watanzania. Hafla hiyo ilifanyika Dar es Salaam jana. (PICHA NA KAMANDA MWAIKENDA)
Comments