WAZIRI MKUU PINDA AKIWA KISHAPU MKOANI SHINYANGA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama jiko banifu kwenye jiko la shule ya sekondari ya Kishapu akiwa katika ziara ya mkoa wa Februari 23, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kishapu wakicheza ngoma wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipofungua jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 23, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Askari wa Jeshi la Jadi yaani Sungusungu wa mji mdogo wa Maganzo wakicheza ngoma yao wakati Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipohutubia mkutano wa hadhara katika mji huo mdogo akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 23,2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwaaga kwa kuwapungia wananchi wa Mji Mdogo wa Maganzo baada ya kuwahutubia akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 23, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.