Juma Nassoro (kushoto) na msichana Azar Charles wakionesha umahiri wa kucheza danadana kwa kichwa katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, ambapo Meneja Mkuu wa Heineken Afrika Mashariki, Koen Morshuis (hayupo pichani) akielezea maandalizi ya ujio wa Kombe la Mabingwa Ulaya (UEFA) nchini Machi 27, mwaka huu. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)Meneja Mkuu wa Heineken Afrika Mashariki, Koen Morshuis (hayupo pichani) akielezea maandalizi ya ujio wa Kombe la Mabingwa Ulaya (UEFA) nchini Machi 27, mwaka huu. Baadhi ya wanahabari wakiwa pamoja na wageni waalikwa kwenye mkutano huo uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Kilimanjaro
Juma akizidi kuonesha minjonjo yake
Msichana Azar akizidi kufanya vituko
Azar akiangalia jinsi Juma akipiga danadana
Kila mmoja akionesha minjonjo yake
Vimwana wa Heineken wakila pozi la nguvu
Comments