Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dk Marina Njelekela akimkabidhi zawadi Masatu Mikama mteja anayerejesha mkopo kwa wakati katika Mkutano Mkuu wa 11 wa wanachama wa Saccos ya wafanyakazi wa Muhimbili (MuSaccos), uliofanyika, Dimaond Jubilee, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mwenyekiti wa Saccos hiyo, Mary Mhango. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Dk Njelekela akiingia katika mkutano huo wa MuSaccos
Dk Njelekela akiwa ameshikana mikono na viongozi wa Saccos hiyo ikiwa ni ishara ya kuonesha mshikamano
Mwenyekiti wa MuSaccos, Mhango akihutubia kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi, Dk. Njelekela
Baadhi ya wanachama wa Saccos hiyo, wakiwa katika mkutano huo
Mgeni rasmi Dk. Njelekela akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Saccos hiyo
Wanachama wakihudhuria mkutano huo
Dk Njelekela akiingia katika mkutano huo wa MuSaccos
Dk Njelekela akiwa ameshikana mikono na viongozi wa Saccos hiyo ikiwa ni ishara ya kuonesha mshikamano
Mwenyekiti wa MuSaccos, Mhango akihutubia kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi, Dk. Njelekela
DK Njelekela akitoa nasaha zake katika mkutano huo |
Baadhi ya wanachama wa Saccos hiyo, wakiwa katika mkutano huo
Mgeni rasmi Dk. Njelekela akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Saccos hiyo
Wanachama wakihudhuria mkutano huo
Comments