NHIF YAZINDUA BODABODA KWA AFYA NA CHF MKOANI RUVUMA

Naibu Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa taifa wa bima ya afya NHIF Bw Hamisi Mdee akimkabidhi mmoja wa viongozi wa kikundi cha waendesha pikipiki wa bodaboda cha (Yeboyebo) cha manispaa ya Songea jaketi la usalama barabarani litalalowawezesha watumiaji wengine wa barabara kuona kirahisi wawapo barabarani. Hafla hiyo fupi ilifanyika katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma na kushuhudiwa na wadau mbalimbali wakiwemo wajumbe wa bodi ya mfuko, watumishi wa hospitali ya mkoa na wananchi wengine. Umoja wa Yeboyebo una jumla ya wanachama zaidi ya 400.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.