Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha Mushi (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 25, Mhandisi wa Maji Wilaya ya Geita, Daud Sweka kwa niaba ya Mkurugenzi wa wilaya hiyo za kusaidia mradi wa visima vitatu vya maji safi na salama ya kunywa kwa wakazi wa Kijiji cha Mkolani-1 wilayani humo hivi karibuni. Katikati ni Meneja Mauzo wa TBL Geita, Issa Msuya.
Mwenyekiti wa mtaa wa Nyamakale, Sizya Mulelemi Mashilungu akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 25 Enock Kangasa, mkandarasi anayatekeleza mradi wa visima vya maji safi na salama ya kunywa kwa ajili ya wananchi wa kijiji cha Mkolani-1 Geita Mwanza, muda mfupi baada ya hundi hiyo kutolewa na kampuni ya Bia nchini (TBL). Kulia anayeshuhudia ni Meneja Uhusiano wa TBL Editha Mushi.
Baadhi ya wananchi wa Nyamakale Mkolani -1 wakiwa na hundi ya sh. milioni 25 walizopewa na TBLa.
Baadhi ya Wanafunzi wa shule ya msingi Mkolani ambao pia watanufaika na mradi huo maji ya visima ambao TBL imefadhili shilingi milioni 25 kupitia mradi wake wa kusaidia jamii wa Hakuna maji Hakuna Uhai wakishuhudia makabiadhino ya hundi hiyoBaadhi ya wananchi wa Nyamakale Mkolani -1 wakimsikiliza Meneja Uhusiano wa TBL Editha Mushi(hayupo pichani) kabla ya kukabidhi hundi ya shilingi milioni 25 kusaidia mradi wa uchimbaji wa visima vya maji kijijini humo jana, katika wilaya ya Geita. (PICHA ZOTE NA MDAU BARTAZAL MASHAKA)
Mwenyekiti wa mtaa wa Nyamakale, Sizya Mulelemi Mashilungu akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 25 Enock Kangasa, mkandarasi anayatekeleza mradi wa visima vya maji safi na salama ya kunywa kwa ajili ya wananchi wa kijiji cha Mkolani-1 Geita Mwanza, muda mfupi baada ya hundi hiyo kutolewa na kampuni ya Bia nchini (TBL). Kulia anayeshuhudia ni Meneja Uhusiano wa TBL Editha Mushi.
Baadhi ya wananchi wa Nyamakale Mkolani -1 wakiwa na hundi ya sh. milioni 25 walizopewa na TBLa.
Baadhi ya Wanafunzi wa shule ya msingi Mkolani ambao pia watanufaika na mradi huo maji ya visima ambao TBL imefadhili shilingi milioni 25 kupitia mradi wake wa kusaidia jamii wa Hakuna maji Hakuna Uhai wakishuhudia makabiadhino ya hundi hiyoBaadhi ya wananchi wa Nyamakale Mkolani -1 wakimsikiliza Meneja Uhusiano wa TBL Editha Mushi(hayupo pichani) kabla ya kukabidhi hundi ya shilingi milioni 25 kusaidia mradi wa uchimbaji wa visima vya maji kijijini humo jana, katika wilaya ya Geita. (PICHA ZOTE NA MDAU BARTAZAL MASHAKA)
Comments