TMA YAWATAHADHARIDHA WANAOISHI MABONDENI KUONDOKA. GHARIKA LA MVUA ZA MASIKA KUJA TENA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi (kushoto)akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu mwelekeo wa mvua za masika za Machi hadi Mei mwaka huu. Kulia ni Mkurugenzi Huduma za Utabiri wa mamlaka hiyo, Dk. Hamza Kabelwa.
 Wanahabari wakiwa kazini wakati wa mkutano huo
Uongozi wa TMA, uwmewatahadharisha wananchi kuondoka mabondeni kufuatia utabiri wa kutokea kwa mvua kubwa za masika zinazoweza kwasababishia maafa.

Pia ameshauri Halmashauri na Manispaa, kuandaa miundombinu mizuri ikiwemo kurekebisha mifereji ya kupitisha maji taka ili mvua kubwa itakapoanza kunyesha maji yawe yanatitirika bila matatizo.pasipo kukwama na kusababisha mafuriko yenye madhara.

Alisema kuwa mvua hizo za masiika zitaanza kunyesha kuanzia Machi hadi Mei mwaka huu katika baadhi ya maeneo nchini, likiwemo Jiji la Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎