WATU WAZIDI KUICHANGAMKIA CCM KATIKA KAMPENI ZAKE JIMBO LA ARUMERU

 Msanii wa TOT anayekwenda kwa jina la Juakali, akihamasisha watu, baada ya mgombea wa CCM Arumeru Mashariki, Sioi Sumari na Mratibu kampeni za CCM Mwigulu Nchemba (kulia) kupanda jukwaani katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo Kata ya Kikatiti A Town.
 SISI NI CCM DAMU: wanafunzi wa kidato cha pili shule ya sekondari Kikatiti wakishadadia CCM wakati wa mkutano wa kampeni za CCM Kata ya Kikatiti
 Mgombea ubunge wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akiwasalimia wapigakura wake, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kijiji cha Mikandini jimboni humo. Kulia ni Mratibu wa kampeni za CCM jimboni humo, Mwigulu Nchemba.
 Sioi akikasalimia katoto kwenye mkutano huo
 Wazee wa Kijiji cha Maroroni jimbo la Arumeru Mashariki  wakifuatilia kwa makini hotuba ya mgombea wa CCM wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye kijiji hicho.

 NI CCM TU: Kina mama na kina baba wa kijiji cha Mikandini wakishangilia  kwenye mkutano uliofanyika katika kijiji hicho.
 Wananchi wa Kijiji cha  Maroroni wakiwa wameketi kwenye mawe ili kuweza kupata kwa undani zaidi hotuba ya mgombea wa CCM Sioi Sumari kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika katika kijiji hicho.
Msafara wa mgombea wa CCM ulichanja mbuga katika maeneo ya Kata ya Kikatiti kusaka kura jimboni Arumeru Mashariki

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.