Waziri Huvisa atembelea kampuni ya Mantra huko Namtumbo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Terezya Huvisa akionyeshwa chombo cha Kupimia Mionzi na Ofisa Usalama Kazi Bw Frederick Kriel wakati alipotembelea kampuni ya Mantra ya Madin ya Tanzania inayoendeshwa na kampuni ya Uranium One ya Canada kulia Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Bwa Saveli Mwangasame[Picha na Ali Meja}
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Terezya Huvisa akionyeshwa kipande cha Jiwe ambacho kilikuwa Mti baada ya kufukiwa Aridhini na Mjiolojia Mwandamizi wa Mantra Tanzania Ltd Bw Mathias Gingi alipotembelea Mradi wa Madini ya Uranium,kampuni ya Mantra inaendeshwa na kampuni ya uranium One ya Canada[Picha na Ali Meja]
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Terezya Huvisa akizungumza na mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Saveli Mwangasame mara baada ya kuwasili kuangalia Mradi ya kampuni ya Mantra ya Tanzania inaendeshwa na kampuni ya Uraniaum One ya Canada Wilaya ya Namtumbo Mkoa wa Ruvuma [Picha na Ali Meja]
Comments