DKT BILAL KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA, BOTSWANA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib
Bilal na Mama Asha Bilal, wakiingi kwenye ukumbi wa tafrija ya chakula
cha jioni kilichoandaliwa na Rais wa Botswana Lt General Seretse Khama
kwa viongozi wakuu wa Nchi za Afrika waliohudhuria mkutano wa siku
mbili kuhusu maendeleo endelevu ya Bara la Afrika Nchini Gaborone
Botswana.
(PICHA NA VPO)
Makamu wa Raisa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib
Bilal kushoto, Rais wa Liberia Mhe. Ellen Jonson na Rais wa Botswana
Mhe. Lt General Seretse Khama wakiwa kwenye tafrija ya chakula cha
jioni kilichoandaliwa na Rais wa Botswana kwa Viongozi wakuu wa Afrika
waliohudhuria mkutano wa siku mbili kuhusu maendeleo endelevu ya Bara
la Afrika jana jioni.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib
Bilal na mkewe Mama Asha Bilal wakiwa kwenye tafrija iliyoandaliwa na
Rais wa Botswana Lt. General Seretse Khama kwa ajili ya viongozi wakuu
wa Nchi za Afrika waliohudhuria mkutano kuhusu maendeleo endelevu kwa
Bara la Afrika
Mke wa Makamu wa Rais Mama Asha Bilal, akizungumza na baadhi ya
wajumbe waliohudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu
maendeleo endelevu kwa bara la Afrika unaoendelea mjini Gaborone
Botswana
Wasanii wa kikundi cha ngoma za utamaduni nchini Botswana wakitumbuiza
kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu maendeleo endelevu ya
Bara la Afrika unaoendelea leo mjini Gaborone Botswana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.