Mbunge wa Monduli azungumza na wananchi wa Mto wa Mbu

Waziri Mkuu Msataafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akisikiliza swali kutoka kwa mwananchi Mkazi wa Mto wa Mbu, mkoani Arusha juu ya kero mbalimbali zinazowakabili za kiusalama. Lowassa alifanya ziara hiyo jana ya kuzungumza na wapiga kura wake.

Mbunge Lowassa akisikiliza majibu kwenda kwa wananchi yaliyokuwa yakitolewa na Mkuu wa Kituo cha Polisi Mto wa Mbu, Mrakibu wa Polisi (SP) Morris Okinda

Lowassa Akihutubia wananchi katika Mkutano huo wa Hadhara. Kwa picha na maelezo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA