MPAKA SASA SIMBA YAIKUNG'UTA YANGA MABAO MATANO

Ubao ulivyokuwa unasomeka muda mfupi kabla ya kuanza mechi ya Watani wa jadi Simba na Yanga
Shabiki wa Simba aliyekuwa amevaa fulana nyekundu na kukaa eneo la Yanga, akitolewa eneo hilo huku akiwa kifua wazi baada ya kuchaniwa na wapenzi wa Yanga. PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA
Shabiki wa Simba akiwa na picha kubwa ya mnyama Simba
Kikosi kilichocheza na Simba katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Kikosi cha Simba kilichocheza na Yanga leo kwenye Uwanja wa Taifa
                     Sehemu ya umati wa wana Simba ukishuhudia mechi dhidi ya watani wao Yanga

Comments

Anonymous said…
Buriani Yanga, naacha kushangilia yanga kuanzia LEO.Sitaki ujinga mimi

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA