BREAKIIIING NEWS, WATU 250 WAHOFIWA KUFA BAADA YA MELI YA MV SKAGIT KUZAMA

ABIRIA 250 waliokuwa wakisafiri kwa meli ya MV Skagit, kutoka Dar es Salaam kwenda Pemba, wanahofiwa kufa baada ya meli hiyo kuzama mchana leo kwenye Bahari ya Hindi.

Habari zilizothibishwa na Jeshi la Polisi zimesema kweli ajali hiyo imetokea na kwamba hivi sasa wanaitafuta meli hiyo kwa kutumia helkopta.

Habari zaidi za tukio hili tutazidi kuwaletea kadri tutakavyokuwa tunapata.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.