Waziri wa Uchukuzi akizungumza katika kikao chake na wamiliki wa mabasi ya abiria yaendayo mikoani pamoja na viongozi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), Dar es Salaam leo, ambapo pamoja na mambo mengine walijadili suala la upandishaji holela wa nauli.
Baadhi ya wamiliki wa mabasi ya abiria yaendayo mikoani wakiwa katika kikao hichoBaadhi ya viongozi wa SUMATRA wakiwa katika kikao hicho
Wanahabari wakiwa kazini
Comments