Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete akiweka ngao na mkuki kwenye Mnara wa Mashujaa wakati wa madhiimisho ya Siku ya Mashujaa, kwenye viwanja vya MNAZI mmoja, Dar es Salaam leo.
Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein akteta jambo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, SeifAli Idd wakati wa maadhimisho hayo. Kulia ni Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano, Ali Hasan Mwinyi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Gharib Mohamed Bilal.
Mashujaa waliopigana vita vya pili vya Dunia
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, akiongozwa na askari kwenda kweka silaha za asili kwenye Mnadra wa Mashujaa
Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akipigia saluti na askari wakati wa maadhimisho hayo
Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein akteta jambo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, SeifAli Idd wakati wa maadhimisho hayo. Kulia ni Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano, Ali Hasan Mwinyi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Gharib Mohamed Bilal.
Mashujaa waliopigana vita vya pili vya Dunia
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, akiongozwa na askari kwenda kweka silaha za asili kwenye Mnadra wa Mashujaa
Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akipigia saluti na askari wakati wa maadhimisho hayo
Comments