MABONDIA ZOLA D NA MCHUMIATUMBO WASAINI MKATABA WA KUZIPIGA SIKU YA IDI

Mratibu wa mpambano wa Mabondia wa uzito wa Juu Shomari Kimbau katikati akitia saini kwa ajili ya kuwapiganisha mabondia Mchumia Tumbo kushoto na Zola D
Bondia David Mlope maarufu kama Zola D King (kushoto) akisaini mkataba wa pambano lake na mpinzani wake Alphonce Mchumiatumbo (kulia)litakalofanyika Sikukuu ya Eid El Fitri katika uwanja wa Bandari Temeke anayeshuhudia ni Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA