MABONDIA ZOLA D NA MCHUMIATUMBO WASAINI MKATABA WA KUZIPIGA SIKU YA IDI

Mratibu wa mpambano wa Mabondia wa uzito wa Juu Shomari Kimbau katikati akitia saini kwa ajili ya kuwapiganisha mabondia Mchumia Tumbo kushoto na Zola D
Bondia David Mlope maarufu kama Zola D King (kushoto) akisaini mkataba wa pambano lake na mpinzani wake Alphonce Mchumiatumbo (kulia)litakalofanyika Sikukuu ya Eid El Fitri katika uwanja wa Bandari Temeke anayeshuhudia ni Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI