MATUKIO MBALIMBALI YA PICHA BUNGENI JULAI 30,2012 DODOMA
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya Mbwanga mkoani Dodoma wakisubiri kuingia katika ukumbi wa Bunge, 30, Julai 2012. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)
Baadhi ya wadau wa masuala ya Ayfa wakielekea ndani ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Julai 30.2012 kusikiliza Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa mwaka wa fedha 2012-2013 iliyowakilishwa na Waziri waa Ustawi wa Jamii Dkt, Hussein Mwinyi, ((Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Hussein Mwinyi (kushoto) pamoja na Naibu wake Dkt, Seif Rashid(kulia) wakipitia hotuba yao ya Makadirio ya Mapato na Matumiz i ya Wizara yao kwa mwaka 2012-2013 iliyowasilishwa leo Bungeni Dodoma . Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.
Comments