REDS MISS WORLD TANZANIA LISSA JENSEN AONDOKA NCHINI KUELEKEA CHINA. Kupeperusha bendera ya taifa July 28, aondoka na matumaini kibao. Apata baraka zote za Lino.

Redds Miss World Tanzania 2012 Lissa Jensen, akiwa akipewa mawaidha ya mwisho na Mkurugenzi wa Lino Agency Hashimu Lundenga kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere leo kabla ya kuelekea nchini China kwenye fainali ya Miss World Fainali ya Dunia Itakayofanyika July28 2012 nchini China mwaka huu ( Picha zote kwa hisani ya Intellectuals Communications Ltd)
Kama wanasema hivi, 'Tunakusihi sana zingatia mafunzo uliyo yapata na utuwakilishe vema, sawasawa!'. Chanzo. Raha za Pwani Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.