Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe la msingi la Hospitali ya Maria Mama wa Kanisa ya Enduimet mkoani Arusha jana. Kushoto kwake ni Askofu wa Jimbo Kuu la Arusha Mhashamu, Josephat Lebulu. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya balozi wa Ubelgiji aliyemaliza muda wake nchini, Paul Jansen ambaye alikwenda kuaga, ofisini kwa Waziri mjini Dodoma jana. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya balozi wa Ubelgiji aliyemaliza muda wake nchini, Paul Jansen ambaye alikwenda kuaga, ofisini kwa Waziri mjini Dodoma jana. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Comments