Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast,kutoka Clouds FM Gerald Hando akitaka kufafanuliwa jambo kwa undani kuhusiana na mambo ya Freemasons na Sir Andy Chande.
Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande akifafanua jambo wakati wa mahojiano na Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast,kutoka Clouds FM Gerald Hando nyumbani kwake kuhusiana na mambo mbalimbali yahusuyo Freemasons,ambayo hivi karibuni yalizua mtafaruku mkubwa miongoni mwa sehemu ya jamii.
Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande akifanya mahojiano na Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast,Gerald Hando nyumbani kwake kuhusiaa na mambo mbalimbali yahusuyo Freemasons,ambayo hivi karibuni yalizua mtafaruku mkubwa miongoni mwa sehemu ya jamii.
"Huyu ndie Kiongozi Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande,na hapa nikiwa nae nyumbani kwake Ukitaka kujua mengi au kujiunga nitafute tu..kumbe ni tofauti kabisa na watu wanavyozungumzia. I love them... lol.....Kwa wale wanaotaka kujiunga nitafuteni niwape masharti ya ukweli badala ya zile stori za mitaani" Simalenga Simon.Kwa hisani ya Haki Ngowi Blog
Comments