WASHINDI WA BAJAJ NA PIKIPIKI WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO NA SERENGETI

 Meneja wa bia ya Serengeti Lager Bw. Allan Chonjo akikabidhi kadi ya usajili wa Bajaj aliyojishindia Bw Richard Mbezi wa jijini baada ya kushinda katika bahati nasibu ya Promosheni ya Vumbua Dhahabu Chini ya Kizibo inayoendesha na kampuni ya bia ya Serengeti kupitia bia zake za Serengeti. Tusker na Pilsner, mkabidhiano hayo yalifanyika jana katika bonanza la Serengeti Fiesta Soccer Bonanza katika viwanja vya TCC Sigara Chang'ombe jijini Dar es salaam.
 Bw. Mbaraka Adam mshindi wa Pikipiki katika promosheni ya Vumbua Dhahabu chin i ya Kizibo akipanda pikipiki yake mara baada ya kukabidhiwa kwenye viwanja vya TCC Sigara Chang'ombe jijini Dar es salaam, kulia katika picha ni Allan Chonjo Meneja wa bia ya Serengeti, Bahati Singh Meneja wa Matukio na Promosheni.
Meneja Matukio na Promosheni wa kampuni ya bia ya Serengeti Bahati Singh akimuelekeza kitu Bw. Richard Mbezi mara baada ya kukabidhiwa jana kwenye viwanja vya TCC Sigara jana, kushoto ni Allan Chonjo Meneja wa bia ya Serengeti.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.