Aggrey Marealle arudisha fomu ya kugombea Ujumbe wa NEC ya CCM

Mjumbe  wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM), na Kamanda wa Vijana Wilaya ya Moshi mjini, Aggrey Marealle (kushoto) akirudisha fomu kwa Katibu wa CCM wilaya ya Moshi mjini, Allu Ismaili ili kugombea Ujumbe wa NEC ya CCM. Hafla hiyo ilifanyika katika Ofisi za CCM Wilaya ya Moshi mjini. (Na Mpiga Picha Wetu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA