Aggrey Marealle arudisha fomu ya kugombea Ujumbe wa NEC ya CCM

Mjumbe  wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM), na Kamanda wa Vijana Wilaya ya Moshi mjini, Aggrey Marealle (kushoto) akirudisha fomu kwa Katibu wa CCM wilaya ya Moshi mjini, Allu Ismaili ili kugombea Ujumbe wa NEC ya CCM. Hafla hiyo ilifanyika katika Ofisi za CCM Wilaya ya Moshi mjini. (Na Mpiga Picha Wetu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI