MBIO ZA BAISKELI KANDA YA ZIWA

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Wilson Nkhambaku(kushoto) akimkabidhi Seni Konda kitita cha shilingi milioni moja ikiwa ni zawadi baada ya kuibuka mshindi katika mashinmdano ya Baiskeli Kanda ya Ziwa yaliyozaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia kinywaji chake cha Safari Lager wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku Kuu ya Wakulima ya Nane nane.Kulia ni Ofisa mauzo wa Kanda ya Ziwa, Malaki Sitaki.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Wilson Nkhambaku(kushoto) akimkabidhi Elizabeth Clement kitita cha shilingi laki saba ikiwa ni zawadi baada ya kuibuka mshindi katika mashinmdano ya Baiskeli Kanda ya Ziwa yaliyozaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia kinywaji chake cha Safari Lager wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku Kuu ya Wakulima ya Nane nane.Kulia ni Ofisa mauzo wa Kanda ya Ziwa, Malaki Sitaki.
 Washiriki wa mashindano hayo wakishindana
 Mmoja ya washiriki wa mashindano ya baiskeli wanawake akimalizia mbio za kilometa 150
Baadhi ya Baiskeli za wakazi wa Kanda ya ziwa wakiwa wamezipaki mara baada ya mashindano hayo wakimsikiliza mgeni rasmi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.