REDDS MISS ILALA 2012: Warembo 15 watakaopanda Jukwaani Sept 07 Watambulishwa

 Mratibu wa Shindano la Redds Miss Ilala 2012, Gadner G. Habash, (wa pili kushoto) akizungumza na waandishi wa Habari kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge wakati wa utambulisho wa warembo 15, watakaoshiriki kwenye fainali ya Redds Miss Ilala 2012, ambapo washindi watafanikiwa kuingia moja kwa moja kwenye fainali ya Redds Miss Tanzania 2012. (wa pili kulia) ni mmoja wa waratibu wa shindano hilo, Juma Mabakila, (kushoto) ni Cylivia Mashuda na (kulia) ni Neema Mbula ambao ni walimu wa warembo hao. Warembo hao watashiriki kwenye kinyang'anyiro hicho kitakachofanyika Septemba 7, 2012 kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge.

Warembo wanaoshiriki kwenye shindano la Redds Miss Ilala wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mkutano na waandishi wa habari wakati wa  utambulisho. Picha na Intellectuals Communications Limited.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA