REDDS MISS ILALA 2012: Warembo 15 watakaopanda Jukwaani Sept 07 Watambulishwa

 Mratibu wa Shindano la Redds Miss Ilala 2012, Gadner G. Habash, (wa pili kushoto) akizungumza na waandishi wa Habari kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge wakati wa utambulisho wa warembo 15, watakaoshiriki kwenye fainali ya Redds Miss Ilala 2012, ambapo washindi watafanikiwa kuingia moja kwa moja kwenye fainali ya Redds Miss Tanzania 2012. (wa pili kulia) ni mmoja wa waratibu wa shindano hilo, Juma Mabakila, (kushoto) ni Cylivia Mashuda na (kulia) ni Neema Mbula ambao ni walimu wa warembo hao. Warembo hao watashiriki kwenye kinyang'anyiro hicho kitakachofanyika Septemba 7, 2012 kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge.

Warembo wanaoshiriki kwenye shindano la Redds Miss Ilala wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mkutano na waandishi wa habari wakati wa  utambulisho. Picha na Intellectuals Communications Limited.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.