WAGOMBEA UONGOZI CCM WAREJESHA FOMU RUVUMA

 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Mbinga Oddo Mwisho kulia akirudisha fomu jana kwa katibu wa ccm mkoa wa Ruvuma Vellena Shumbusho kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama mkoa.

Waandishi wa habari mkoani Ruvuma Cresensia Kapinga kushoto n Joice Joliga kulia wakisubiri kupata idadi ya wagombea waliochukua fomu ya kuomba kuchaguliwa nafasi mbali mbali za uongozi ndani ya chama cha mapinduzi katika ofisi ya katibu wa ccm mkoani humo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.