Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo, Suzan Ngene kutoka Kenya, ambaye alivunjika mkono akiwa amefikishwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili Dar es Salaam jana, baada ya kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari manne, yakiwemo mabasi mawili na malori mawili katika Barabara ya Chalinze-Segera, eneo la Makole, mkoani Pwani. Watu 11 wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa.(PICHA NA KHAMIS MUSSA)
MAGARI 7 NA NDEGE 2 KUTOKA KESNYA ZIMEKUJA KUCHUKUA MAITI NA MAJERUHI NA KUWARUSHA KWAO JIONI HII.
WAZIRI MKUU WA KENYA, RAILA ODINGA AMEISHUKURU SERIKALI YA TANZANIA, KWA HATUA YA KUWAHUDUMIA WAGONJWA.
MAGARI 7 NA NDEGE 2 KUTOKA KESNYA ZIMEKUJA KUCHUKUA MAITI NA MAJERUHI NA KUWARUSHA KWAO JIONI HII.
WAZIRI MKUU WA KENYA, RAILA ODINGA AMEISHUKURU SERIKALI YA TANZANIA, KWA HATUA YA KUWAHUDUMIA WAGONJWA.
Comments