Waziri Mkuu akagua chanzo cha maji cha Ntomoko, Kondoa


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Haubi, wilayani Kondoa  akiwa njiani kuelekea kwenye chanzo cha maji cha Ntomoko wilayani humo jana, Agust 12, 2012. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akikagua chanzo cha maji cha Ntomoko wilayani Kondoa, akiwa katika ziara ya siku mbili wilayani humo jana, Agust 12, 2012. Kushoto ni Naibu Waziri wa Maji, Dk. Benilith Mahenge na kulia ni Mkuu wa  Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi.


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akizungumza na Diwani wa Kata ya Haudu, wilayani Kondoa, Gaspar Mwendu baada ya kuzungumza  na wananchi wa kijiji cha Ntomoko wakati alipokuwa akikagua chanzo chao cha maji jana, Agust 12, 2012.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.